KWETU

Kwetu ni taasisi isiyo ya kiserikali (NGO) inayojikita katika kuhamasisha na kuwezesha jamii, hususan vijana wa Mkoa wa Tabora, kupitia elimu, afya, ujasiriamali, mazingira, na matumizi ya teknolojia ya kisasa. Tunakusanya na kusambaza hadithi za mafanikio, tunaandaa majarida ya kuelimisha, na tunahamasisha jamii kuchukua hatua chanya kwa maendeleo endelevu. Kupitia kaulimbiu yetu “Elimika, Chukua Hatua,” tunaamini kila mtu ana nafasi ya kuleta mabadiliko kwenye jamii yake.
Tovuti yetu: www.kwetu.online

Kwetu Updates»

View all

MARIA

" Macho ya Ndani ya Maria" – Hadithi kutoka Chabutwa Katika kijiji kidogo cha Chabutwa, wilayani Nz…

HAWA

Nilitaka tu kusaidia mama..." Hawa ni msichana mdogo mwenye umri wa miaka 13, anayeishi kati…

Load More
That is All