IFAHAMU SARAFU YA TABORA
IFAHAMU SARAFU YA TABORA. ________________________ Na. Joseph Mayuni Unapozungumzia historia adimu ya taifa langu Tanzania basi huwezi kuacha kutaja …
Kwetu – Ushirikiano Wetu, Nguvu Yetu.” Kwa pamoja tunaweza kuinua jamii yetu. Kila mchango, mdogo au mkubwa, ni nguzo ya maendeleo.
Kwetu ni nyumba ya kila mmoja wetu. Tunapoungana, tunajenga msingi imara wa maendeleo ya Tabora na Tanzania kwa ujumla. Kauli yetu ‘Elimika Chukua Hatua, si maneno tu, bali ni mwaliko wa vitendo – kushirikiana, kusaidiana na kuchukua hatua. Nawaalika wadau wote kuendelea kushirikiana nasi ili tuzalishe mabadiliko chanya kwa vijana, jamii na taifa letu.” ✍️ Mkurugenzi, Kwetu
Ni shangwe tupu ukiwa na KwetuApp
Ni Haki ya Kila Mtu kupewa heshima na zawadi
Jamii ni yetu pia ni wa jibu wetu kulinda na kuwaelekeza watoto njia inayofaa kwao
Ujasiriamali ni jambo muhimu sana katika mustakabali wa jamii yetu. Ni vyema watu wa jifunze ujasiriamali
Tunaitumiaje mitandao ya kijamii kwa manufaa yetu na vizazi vyetu
Nijambo jema sana kutoa pongezi kwa wale wote wanao jituma katika shughuli zao halali za kila siku
Umoja na Mshikimamo ndio nguzo sahihi ya maendeleo ya jamii yetu
Kwetu Connect ita kuconnect na kazi/mazingira/fursa/ujasiriamali na wajasiriamali
Itakuletea Hadithi na simulizi mbali mbali za kijamii /kihistori/
Vijijini si nyuma kimaendeleo, bali ni chimbuko la fursa. Tabora imebarikiwa ardhi yenye rutuba na nafasi kubwa ya kilimo, ufugaji na biashara. Kupitia Kwetu, tunayaona vijiji kama kitovu cha maendeleo na mabadiliko chanya.
"Makazi bora vijijini ni nguzo ya maisha yenye heshima na maendeleo. Kupitia Kwetu, tunahamasisha vijana na jamii ya Tabora kuboresha mazingira ya vijiji vyetu – kujenga kwa ubunifu, kutumia rasilimali zilizopo, na kuishi katika makazi safi na salama.
Makala mbali mbali kama Tamaduni Biashara Sanaa Michezo Stadi za Maisha Historia. Zitakazo kujenga zaidi
IFAHAMU SARAFU YA TABORA. ________________________ Na. Joseph Mayuni Unapozungumzia historia adimu ya taifa langu Tanzania basi huwezi kuacha kutaja …
SAFARI YA DADA HALIMA: MFANO WA UJASIRIAMALI KUPITIA MAZAO YA MISITU IPULI TABORA Katika mtaa wa Ipuli, Manispaa ya Tabora, jina la Dada …
MKASIWA: Mwanamke wa Kipekee Kwenye Uongozi wa Unyanyembe Katika historia ya Tabora na himaya ya Unyanyembe, jina la Mtemi Isike Mwanakiy…
.
!doctype>Miradi Ya Vijana
Simulizi za mafanikio
Watembeleaji wetu